UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NI NINI?

Ni hali ya mwanaume kushindwa kumfikisha kileleni mke wake au kwa lugha nyingine ni hali ya mwanaume kushindwa kumridhisha kimapenzi mke wake ( KUSHINDWA KUFANYA TENDO LA NDOA IPASAVYO)ALILI AU VIASHIRIA  VYWA MTU MWENYE TATIZO LA UKOSEFU/UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME.
____________________________

DALILI AU VIASHIRIA  VYWA MTU MWENYE TATIZO LA UKOSEFU/UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME.
____________________________

Mtu mwenye tatizo la ukosefu wa nguvu za kiume huwa na dalili zifuatazo ;
1. Kushindwa kabisa kusimamisha uume wake
2. Uume kusimama ukiwa legelege
3. Kuwahi kumaliza tendo la ndoa
4. Mwanaume kutokuwa na uwezo wa kufanya tendo la ndoa katika baadhi ya staili ( Mara nyingi mwanaume huyu huwa na uwezo wa kufanya tendo la ndoa staili moja tu ). Hapa mwanaume anakuwa na uwezo wa kufanya tendo la ndoa kwa staili ya “ missionary” pekee. Ikibadilishwa staili, mwanaume anakuwa hana tena uwezo wa kusimamisha uume wake japo katika hali ya u lege lege
5. Uume kutokuwa na uwezo wa kusimama wenyewe bila kushikwashikwa ama kutomaswa kwa muda mrefu.
6. Uume kusinyaa ukiwa ndani ya mwanamke.
7. Uume kusinyaa, pindi inapotokea activity yoyote ya kiungo ama ogani nyingine ya mwanaume wakati wa tendo la ndoa. Kwa mfano, wakati wa tendo la ndoa, ikitokea mwanaume amekohoa au kupiga chafya, uume nao unasinyaa.
8. Uume kusinyaa mara tu baada ya kutolewa ndani ya uke ( Kwa mfano kama unafanya tendo la ndoa, halafu uume ukatoka nje, kitendo cha kuushika kuurudisha ndani, tayari una sinyaa )
9. Kutokuwa na uwezo wa kurudia tendo la ndoa.
10. Kupatwa na maumivu wakati wa tendo la ndoa.

CHANZO AU SABABU ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME

GROUP(kundi)A

Tatizo la kawaida liliotokana na:-
✔Ukosefu wa Elimu,vyakula,tendo
✔Pombe/sigara/mihadarati
✔Unene/Uzito/kitambi/kukosa mazoezi
✔msongo wa mawazo/saikolojia
✔matibabu wiki 3 siku 21


GROUP(kundi)B

Tatizo la saizi ya  kati limetokana na:-
✔Punyeto-mapenzi ya bila mwanamke
✔Kutazama picha na videoa za ngono(x)
✔Mapenzi ya jinsia moja
✔Mapenzi ya kunyume na maumbile
✔matibabu wiki 5 siku 35

GROUP(kundi)C

Tatizo kubwa limetokana na:-
✔Kutumia  dawa za kungoza nguvu za kiume zenye kemikali Eg* viagra/vega/erector/enjoy/cream/spray/Alprostadil.Avanafil./Sildenafil/Tadalafil./Testosterone./Vardenafil*

Na dawa zingine zingine unazo jua wewe
✔Kuwa na historia ya kuumwa kwa muda mrefu
Eg-Kifua kiku / mtu alie wahi kutumia dawa za kemikali kwa muda  mrefu sana mwaka1+
Matibabu wiki 7siku 49

GROUP(kundi)D

Tatizo kubwa sana  lime tokana na:-
✔Magonjwa  mbali mbali sugu
✔Vidonda vya tumbo
✔Chango la uzazi (ngiri hernia)
✔Kusukari/moyo/presha/shinikizo la damu
✔Mangonjwa yote yale ambayo watu husema hayana TIBA
✔Tiba wiki 10 siku 70

GROUP(kundi)

Tatizo kubwa au dogo limetokana na:-
✔majini mahaba
✔Uchawi/ kurogwa/ushirikina
✔Mambo ya ajabu mauzauza

Wasiliana nasi Kashaga Company Clinic ya Tiba ASILI Piga Simu +255656302000 AU 0757945601

Dawa ya Nguvu za Kiume Jembe Mix Tsh150,000/=
__
BAADHI YA HUDUMA TUNAZOTOA
__
>Vidonda vya TUMBO
>Bawasiri (mgoro)
>Ngir (Henia)
>MARADH Sugu (Sukari,PRESHA N.k
>Kukuza na Kunenepesha MAUMBILE
>Kurejesha NGUVU na Uimara WA MAUMBILE
>Kupunguza KITAMBI na MINYAMA UZEMBE
>Kuotesha NYWELE (Vipara)
>Kurefusha NYWELE
>Kunenepesha na Kunonesha Mwili
>Changamoto zote za Ngozi
>Changamoto za UZAZI wanawake na wanaume
>Tatizo la ndevu Kwa Wanawake
>PID, UTI Sugu na Hormone Imbalance
>Uvimbe kwenye kizazi N.k
_
TUNAPATIKANA
__
Dar es Salam |Kariakoo , Mtaa wa Tandamtii|Fika kituo Cha Polisi cha Msimbazi/Au Stand ya Mwendokasi Ulizia Msiki wa Madina Jengo letu liko Opposite na Msikiti

Piga Simu 0656302000 AU 0757945601

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *