BAWASIRI NI NINI ? NA TIBA YAKE YA ASILI YA KUDUMU NI IPI ?

Bawasiri ni Ugonjwa unaotokana na kuvimba/kupasuka kwa mishipa ya dawa sehemu ya haja kubwa na kupelekea kuota kwa kinyama ambacho ndio huitwa Bawasiri/mgoro/mgongo nk

Sababu kubwa ya mtu kupata Bawasiri ni Mgandamizo sehemu ya haja kubwa ambapo mgandamizo huo hupelekea kupasuka/kuvimba kwa mishipa midogo midogo ya damu aina ya veins sehemu ya haja kubwa hivyo hupelekea kuota kwa kinyama,miwasho,maumivu makali na kutoa damu

MAMBO YANAYOWEZA KUSABABISHA MTU KUPATA BAWASIRI
_________

[1] Uzito kupita kiasi(Overweight)

[2] Ujauzito

[3] Unywaji pombe

[4] Kukaa sana sehemu ngumu

[5] Kuingiliwa sehemu ya haja kubwa.

[6] Kujisaidia Choo Kigumu.

Miongoni mwa sababu za kujisaidia choo Kigumu ni

@ Vidonda vya TUMBO

@ Ngiri/Hernia

@ Ulaji duni

[7] Kula sana nyama nyekundu

[8] Presha ya kupanda

[9] Kula sana pilipili

[10] Kula udongo – Wajawazito na watoto wadogo.

[11] Tatizo sugu la kuharisha

[12] Kunyanyua vitu vizito

DALILI ZA BAWASIRI
________

[1] Kupata muwasho mkali katika eneo la juu la haja kubwa

[2] Kujitokeza kwa kinyama eneo la haja kubwa

[3] Kutokewa na kiuvimbe katika tundu ya haja kubwa

[4] Kupata kinyesi chenye damu

[5] Kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia haja kubwa

[6] kutokwa na uteute sehemu ya haja kubwa

[7] Kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia haja kubwa na kusababisha mishipa ya sehemu ya haja kubwa kukwanguliwa

[8] Uume kusinyaa – unapoteza urefu na ukakamavu

ATHARI/MADHARA YA BAWASIRI
______

[1] Upungufu wa damu mwilini

[2] Kutokwa na kinyesi bila kujitambua

[3] kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa

[4] kupungukiwa nguvu za kiume

[5] kupungukiwa na uwezo wa kufanya kazi kutokana na maumivu

[6] Kupata tatizo la kisaikolojia

[7] Kutopata ujauzito

[8] Mimba kuharibika

[9] Kupata kansa ya utumbo ( Colorectal cancer)

[10] Mwili kudhoofika

[11] Upungufu wa damu mwilini

[12] Kutokwa na kinyesi bila kujitambua

Wasiliana nasi Kashaga Company| Clinic ya Tiba AsiIi and Visa Assistance +255656302000 AU 0757945601

Tiba ya Bawasiri TSH 150,000/=
__
BAADHI YA HUDUMA TUNAZOTOA
__
>Vidonda vya TUMBO
>Bawasiri (mgoro)
>Ngir (Henia)
>MARADH Sugu (Sukari,PRESHA N.k
>Kukuza na Kunenepesha MAUMBILE
>Kurejesha NGUVU na Uimara WA MAUMBILE
>Kupunguza KITAMBI na MINYAMA UZEMBE
>Kuotesha NYWELE (Vipara)
>Kurefusha NYWELE
>Kunenepesha na Kunonesha Mwili
>Changamoto zote za Ngozi
>Changamoto za UZAZI wanawake na wanaume
>Tatizo la ndevu Kwa Wanawake
>PID, UTI Sugu na Hormone Imbalance
>Uvimbe kwenye kizazi N.k
_
TUNAPATIKANA
__
Dar es Salam |Kariakoo , Mtaa wa Tandamtii|Fika kituo Cha Polisi cha Msimbazi/Au Stand ya Mwendokasi Ulizia Msiki wa Madina Jengo letu liko Opposite na Msikiti

Piga Simu 0656302000 AU 0757945601

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *